Social Icons

NDOA YANGU, Ningejua!

NDOA YANGU, Ningejua!

NITAMPATAJE MCHUMBA

Hiki ni kitabu changu kipya cha pili. Vijana wengi wanapata shida katika kuanza na kuendeleza mahusiano yatakayowafikisha katika maisha ya ndoa. WENGI HAWAJUI NINI M,AANA YA MCHUMBA NA MCHUMBA NI MTU GANI Wengi hawajui waanzisheni urafiki sahihi na wa kweli, maisha yanayopaswa kuishi katika urafiki, na uchumba, Hivyo kitabu hiki kinafundisha namna ya kuanzisha urafiki, mambio ya kuchunguza wakati wa urafiki, namna ya kuanzisha uchumba, haki na wajibu wa wachumba na wazazi wao, muda sahihi wa kusihi katika uchumba na hatimaye mambo ya msingi yanayopaswa kukamilisha ama kufuatwa siku ya ndoa. Nawakaribisheni kukisoma watu wa rika zote kwa maana kuna wanandoa wengi ambao hawakufuata misingi sahihi ya kuanzishwa kwa ndoa yao na ndio maana wanalia sasa.

No comments:

Post a Comment