Bungeni Dodoma katika uwajibikaji
Baadhi ya wabunge wa Bunge la muungano, wakipanda basi kuelekea bungeni Dodoma mwaka 1984. aliye mbele ni naibu Spika Chifu Kasusura. Je, leo hali ikoje wandugu? kwa nini utaratibu huu usirudishwwe?
simu ya bei mbaya zaidi duniani
Jiji la Dar es Salaam nyakati za usiku
mtoto wa ajabu aliyezaliwa akiwa hana mikono, tumbo, kichwa mkoani Singida jana
No comments:
Post a Comment