Social Icons

NDOA YANGU, Ningejua!

NDOA YANGU, Ningejua!

WAKAMATWA NA ATM 243 ZA BENKI YA NMB

Jeshi la Polisi mkoani Geita,limefanikiwa kuwakamata watu wawili wakiwa na kadi 243 za watu mbalimbali wilayani Chato, zinazotumika kutolea fedha kwenye ATM za Benki ya NMB kinyume cha sheria.   Kamanda wa polisi mkoani Geita, Leonard Paulo,aliwaambia waandishi wa habari ofisini kwake,kuwa tukio hilo lilitokea juzi saa 7, usiku katika Kijiji cha Kitela wilayani Chato.   Aliwataja watuhumiwa hao kuwani Gidion Matiku (22) na Seleman Hassan(30) mkazi wa Chato wote wakiwa wafanyabiashara wa duka la nafaka pamoja na vifaa vya ujenzi. “Tunawashikilia watu hawa tukiendelea kufanya uchunguzi zaidi kwa nini wanamiliki hizi kadi zote za ATM zilizotolewa na Benki ya NMB wanazifanyia nini kwa sababu zina majina ya wateja mbalimbali, ambao ndio wamiliki halali wanaotambuliwa na benki

No comments:

Post a Comment