MWENYEKITI wa Makampuni ya IPP, Bw
Reginard Mengi
ameonesha kusikitishwa na kauli ya Waziri wa Madini Prof Sospeter Muhongo kwa
kusema kuwa Watanzania hawawezi kuwekeza kwenye gesi na badala yake wafanye
biashara ya kuuza juice.
Akihojiwa leo NA SAUTI YA AMERIKA, Mengi amesema kuwa kwanza serikali kugawa gesi kwa wageni bila hata kuwepo kwa sera ya gesi ni uporaji mkubwa wa mali za Watanzania bila ridhaa yao. Amemwambia hayo maneno ya kuuza juice aende akawaambie wanafunzi wake na asidhani kila Mtanzania hawezi kuwekeza kwenye gesi. Amemshauri arudi chuo akafundishe na maswala ya gesi awaachie Watanzania
Source:SAUTI YA AMERIKA---DIRA YA DUNIA
Akihojiwa leo NA SAUTI YA AMERIKA, Mengi amesema kuwa kwanza serikali kugawa gesi kwa wageni bila hata kuwepo kwa sera ya gesi ni uporaji mkubwa wa mali za Watanzania bila ridhaa yao. Amemwambia hayo maneno ya kuuza juice aende akawaambie wanafunzi wake na asidhani kila Mtanzania hawezi kuwekeza kwenye gesi. Amemshauri arudi chuo akafundishe na maswala ya gesi awaachie Watanzania
Source:SAUTI YA AMERIKA---DIRA YA DUNIA
No comments:
Post a Comment